Posts

Showing posts from August, 2018

Kofi Annan, katibu mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa aaga dunia akiwa na miaka 80

Image
Kofi Annan, katibu mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa aaga dunia akiwa na miaka 80 Saa 9 zilizopita Sambaza habari hii Facebook   Sambaza habari hii Messenger   Sambaza habari hii Twitter   Sambaza habari hii Email   Mshirikishe mwenzako Haki miliki ya picha GETTY IMAGES Image caption Kofi Annan Aliyekuwa katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Kofi Annan ameaga dunia akiwa na miaka 80. Annan alikuwa ni mwafrika mweusi wa kwanza kuchaguliwa kuwa katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa, akihudumu mihula miwili kuanzia mwaka 1997 hadi 2006. Baadaye akahudumu kama mjumbe maalum wa Umoja wa Mataifa nchini Syria na kuchangia kupatikana kwa suluhu la amani la mzozo wa nchi hiyo. Kofi Annan amtaka Odinga kutumia njia za kisheria Kenya Katika taarifa iliyotangaza kufariki kwake, wakfu wa Kofi Annan ulimtaja kama mtu aliyejitolea sana katika masuala ya kimataifa mbaye katika maisha yake yote alipigania kuwepo ulimwengu wenye amani. Muhula wa Annan kama ...

Story fupi ya kusisimua.

Image
Nikiwa Mdogo nilikua mkorofi na mtundu sana, nilipenda kupigana na watu na hata watu wakubwa sikuwaogopa maana nilijua mama yangu ananipenda sana na nilikua nikitoka shule alikua ananipaka dawa hata kama nina majeraha Nilipenda sana uangalifu wa mama na nilifanya kila aina ya utundu, maana nilijua mama yupo na atanitetea kwa chochote kile. Mama alikua anaumia sana na wakati wingne analia kabisa lakini sikujali hill. Sikumoja bibi yangu aliumwa(mama yake mama) ikabidi mama aende kumuuguza, dah! Kile kipindi kilikua kigumu sana kwangu niliogopa kupigana na hata nikionewa nilibaki natulia tu maana mtetezi hayupo. Mara nyingi nilikua nikitoka shule naenda barabarani natamani nimwone mama akija wakati mwingine hadi machozi yalinitoka kwa wakati ule nilikonda japo nilikua nikila vizur.  Sikumoja mama alikuja, kwa kweli nilifurahi sana, nilimumbatia kwa muda mrefu sana lakini mama alikonda pia kwaajili ya hali ngumu ya kijijini kwa bibi. Mama aliniangalia akaniambia "mwanan...

Jumapili njema

Jumapili njema August 12, 2018 Mwamini Mungu Then Amini muujiza wako upo Kuna mahali tunafikia moyo yetu inapondeka na kukosa tumaini kabsa, wengine wanaamini ndio mwisho wa maisha yao wengine wanaamini hawata fanikiwa tena Lakini jumapili hii ya leo napenda nikutie moyo na kukuambia kua kuna nguvu ya asili na haiwezi patikana pengine popote isipokua kwa kumwamini tu aliyetuumba. Ukianzia hapa katika shughuli zako na katika mambo yako utaona tumaini na utaona mafanikio. Ni kitu kimoja kirahisi na chepesi unachoweza kufanya ni kuomba, kutubu, na kuamini kile unachokiomba bila kusahau kuishi ukizishika amri za Mungu na kuziishia Ujumbe huu kama umekugusa chukua hatua tubu na badilisha njia zako(mwenendo wako) Pia toa sadaka ya sekunde chache ku like  na ku share  hii page kwa wengine ili nao wapate kubadilika naamini ukifanya hivyo lazima utaokoa mtu mmoja na katika akaunti yako mbinguni itakua imeongezeka kitu

NJIA KUU ZA KUFIKIA MAFANIKIO

NJIA KUU ZA KUFIKIA MAFANIKIO Napenda kuwasalimu sana, leo ningependa kuzungumzia kidogo kuhusu njia kuu za kukufikisha kwenye mafanikio, lakini swali ya tote tuangalie mini maana ya mafanikio            Mafanikio ni hali ya kutoka katika sehemu ya chini( hali duni) ya kimaisha na kufikia hatua uliyokua ukiihitaji au ukiifikiria katika maisha yako.  Mwingine akasema mafanikio ni hatua ambayo mtu anaifikia na kua amefikia ndoto zake. Maana zote mbili ni sawa lakini ombi kubwa la watu wengi na haaaa vijana mafanikia, ni kutimiza ndoto zake alizo jiwekea, sasa moja kwa mmoja bila kupoteza muda nizungumzie mini kifanyike ili mtu afikie mafanikio au ndoto alizo nazo Kumweshimu na kumtumaini Mungu Kwa hali mmoja au nyingine tunaweza jisifu au kufanya Kazi tukitumainia nguvu zetu mwenyewe na kumsahau aliye tupa uhai, mtu mmoja akasema hivi "vitu vyote humu duniani tunavyovifanya ni 0 lakini Mungu ni 1". Katika maneno hayo unaweza fikiria na ku...

MZEE MAJUTO; HABARI ZA HIVI PUNDE.. Amri Athuman (king MAJUTO) afariki dunia

Image
R.I.P KING MAJUTO( Amri At human) aliekua msanii maarufu na mchekeshaji ( bongo movie) amefariki katika hospital ya Muhimbili leo saa mbili usiku Chanzo cha habari EATV Chanzo kingine Breaking News: Mzee King Majuto Afariki Dunia MSANII nguli wa vichekesho Tanzania, Amri Athuman ‘Mzee King Majuto’ amefariki dunia majira ya saa 2:00 usiku huu wa Agosti 8, 2018 katika Hospitali ya Taifa, Muhimbili alipokuwa amelazwa akipatiwa matibabu kwa siku kadhaa. Mtoto wa marehemu aitwaye Abuu amethibitisha kifo cha baba yake. Pia, mchekeshaji Joti ndio wa kwanza kutoa taarifa hizo kupitia mtandao wa instagram. “R.I.P King Majuto Umetuachia Maumivu Makubwa sana katika Tasnia ya Comedy Tanzania, sisi wanao, tutakukumbuka kwa kazi zako, upendo wako, tabasamu lako Daima milele, tulikupenda sana ila Mungu amekupenda zaidi, pumzika kwa Amani Mzee wetu,”  amendika Joti. Mzee Majuto alizaliwa mwaka 1948 mkoani Tanga na kusoma Shule Msambwini, mkoani humo, alianza kuigiza 1958 ak...

FASHION

Image
LEO LEGAL Read to the end you will learn something There was one man rocking stones This man hated his job and saw it difficult and if he was neglected for that job, although he was responsible for his work and he should have the same to live  One day as he was stinging stones he saw a man lying, sitting on a seat chair and people shouting for him with great joy.  He went to realize that man was a  king   The Lord is very desperate and proud of God by making the king bus his life will grow better and dissatisfied with the boss. Suddenly he became a king and the people were running and playing so much, the master was so happy and he ordered his servants to visit him every hour. But he has carried and while he put to death when he cut to much  sun  they grew used when chakiangazi, the sun was growing Kali much lilimkera, the man said  "  yet even the kingdom is not something !!!? That I grew kutyu know Bhasi I film I rule I sa...

TAFAKURI

Image
UJUMBE WA LEO Soma mpaka mwisho utajifunza kitu Kulikua na mtu mmoja mpasua mawe Mtu huyu aliichukia sana Kazi yake na kuona ni ngumu na nikama anaonewa kwa Kazi hiyo japo ni jukumu lake na anatakiwa aifanaye ili apate kuishi  Siku moja akiwa anapasua mawe aliona mtu akiwa amebebwa, akiwa amekalia kiti cha thamani na watu wakimwimbia kwa shangwe sana. Akaenda kutambua mtu yule ni mfalme   Bwana huyu alitamani sana na kujisemea Mungu akimfanya mfalme bhasi yeye maisha yake yatakua mazuri na ataridhika kabsa. Kimuujiza ghafla akawa mfalme na watu wakawa wanamwimbia na kumchezea sana, bwana yule alifurahi sana na aliwaagiza wtumishi wake kumtembeza kila atakapo na kila saa. Lakini akiwa amebebwa na huku anaimbiwa sana alichomwa sana na jua maana ilikua nikipindi chakiangazi, lile jua nilikua Kali sana na lilimkera, mtu yule akasema " kumbe hata ufalme sio kitu!!!? Yaani ningekua tyu jua bhasi Mimi ndo ningetawala ningeridhika kabsa. "  Ghafla bwana...