Posts

Showing posts from February, 2019

MUHIMU KUSAMEHE

Image
Thank you for reading this post Sometimes tunakosea marafiki zetu na hata wazazi, kosa lililotendeka hukulitarajia, wakati mwingine unakuta unaumia na unapata shida sana huku ukijutia kosa lako. Wakati huo uliemkosea hakuoni wala haiskii ukijilaumu, lakini yeye anakasirikia na kushindwa kuelewa ni jinsi gani unavyowaza kukutoka moyoni mwako. Napenda tujifunze nini? Msamaha ni muhimu kwa watu wote, sometimes unaweza ukalaumu mtu kumbe yeye mwenyewe anajutia zaidi kosa lake, muhimu anapo omba msamaha mpatie msamaha. Ili nae apate amani moyon mwaka apate nafasi ya kuwaza mambo mengne. Kukosea kupo shetani alikua malaika lkn alikosea, meaning that sio sisi binadam tu tunakosea, lkn kila kitu exists on earth kinakosea plz tuwe tunasameheana. Kwan hata Mungu husamehe dhambi zetu sawasawa na tunavyosamehe wawanao tukosea God bless u na akupe moyo mwepec wa kusamehe Amina

AKILI NI SULUHISHO LA MATATIZO. Ishughulishe akili yako.

Image
Thank you for reading this post TAFAKARI YA LEO Siku hii ni njema imempendeza Mungu sisi kuwepo, Leo napenda tutafakari machache ambayo ni maisha yetu ya kawaida kabisa, * Soma story hii kidogo * Kampuni moja iliingia hasara Sana na kwa muda, boss wa kampuni alipoona kampuni inaangamia akaamua kuita wafanyakazi wote Kisha akawaambia Kila mmoja aandike sababu ishirini (20) kwann kampuni inaporomoka kiuchumi Wafanyakazi wale walipochukua karatasi kuandika, waliandika point za mwanzo haraka Sana lakini zilipo fika kwanzia point ya (15) speed yao ya kuandika ilipungua hivyo walifikiri Sana kwa kutumia akili zao. Boss alipokuja kutazama point zile na kuzifanyia kazi alikuta kwanzia point ya 17 ya Kila mmoja ndio inasuluhisho la kwann kampuni inaporomoka..🔥 Tambua kuwa binadamu Mungu katujalia akili nyingi sana na uwezo mkubwa Sana wa kuhifadhi mambo. Kisaikolojia binadamu anao uwezo wa kuhifadhi billions za vitabu kwenye kumbukumbu yake, na anaweza kutumia hizo reference kutatua...

HABARI KUU LEO; MUNGU JUU YA YOTE MAISHANI MWAKO

Image
Thank you for reading this post Sometimes Mungu huwa anaruhusu mambo mengine ili kukupa funzo kwenye maisha yako, anakuokoa na kule unapoelekea, pengine ungeenda kuangamia. Lkni sisi wanadamu tulivyo tunataka mafanikio wakati wote na kuona Mungu katuacha pale tunapo pita kwenye majaribu. Mkumbuke Ayubu, yeye alipata majaribu meng na makubwa sana  lakin kamwe hakumwacha Mungu aliye muumba alitulia kusubiri muda wa Mungu kujitukuza kupitia yeye na ilipofika wakati, Mungu alijitukuza na alimjaza Mara nyingi zaidi akampa Mali za kutosha na kumpa make na watoto wazuri. Nawe napenda kukuambia katika usiku wa Leo usije ukakata tamaa na kuacha kumtumikia Mungu maishani mwako mwache Mungu afanye yake itafika muda wa yeye kujitukuza na shetani na wote waliokusema wataaibika. Chukua dakika chache za kumtukuza Mungu na kumwambia asante kwa yote aliyo kutendea maishani, zidi kumwomba bila kukoma naye IPO siku atajitukuza kwako. Mungu akujalie afya njema Mungu akujalie baraka ...