Posts

Showing posts from December, 2017

MAPENZI MUBASHARA. Jinsi yaKumwomba msamaha mpenzi wako au kudumisha mahusiano yako zaidi

Image
Dah leo nimechafukwa😎😎 kama hamuelewani na mpenzi wako au niile tu unataka kumpa mistari itayomwonesha anajaliwa na kuthaminiwa;  cheza na hiyo mistar vizuri asipo tulia on line njoo nidai Furaha ni kawaida yangu, kununa si busara kwangu, kuishi nawewe vizuri ni sehemu ya Maisha yangu, kukusalimia ni hulka ya Moyo wangu, Uhali gani mpenzi? Salamu yako ni nusu ya uhai wangu, kuikosa nisawa na kuidhulumu nafsi yangu, kuipata nisawa na ua ridi machoni mwangu, nakila ninapoipata huwa najisikia faraja moyoni mwangu, Nakupenda sana Muhibu wangu. Usiku wa leo uwe ni wenye faraja kwako, utawaliwe na usingizi wa mahaba kwenye kope zako, naomba ujenge taswira yangu katika mawazo yako, Usisahau kuniota sweet wangu. USIKU MWEMA Fungua macho yako uone kopa za mahaba ninazokumwagia, fungua mikono yako na upokee mapenzi yangu, fungua simu yako uone ni jinsi gani ninavyokukumbuka japo kwa kukutumia sms mpenzi wangu, Nakutakia usiku mwema Utamu wako ni zaidi ya asali, ni wa asili usioh...

CHRISTIMAS MAGIC

Clik this link to see the magic👇 http://wish4u.co/2018/?n=FeatureBoy

MAALUMU KWA WANAUME

Image
WANAUME TUSHIRIKI KATIKA SALA HII DHIDI YA WANAWAKE! 1. Atakua na simu yake mpo nyumbani dakika hiyo anakwambia umbip hajui kaiweka wapi. Tuhurumie Baba 2. Ana Nguo zimejaa makabati mawili lakini hajui avae nini ukimwambia mtoke.! Baba, ni magumu kwetu mambo haya. 3. Anakasirika ukikosa kumtumia text ya good night lakini yeye akikosa wewe inabidi uwe muelewa.! Tuwaeleweje, Baba? 4. Ana viatu zaidi ya pea 50 lakini hana viatu vya kuvaa vya kwenda ibadani. Mungu uwasamehe 5. Akianza kuvaa saa moja atamaliza saa tano muda wote inabidi umsubiri tu. Si kupenda kwao Baba ila nasi yanatushinda Bwana 6. Akienda saloon anakaa kuanzia asubuhi mpaka jioni na huna budi kumsubiri na usilalamike. Mungu wetu, tupe moyo wa kuyahimili haya 7. Ana mafuta tofauti ya kujipaka mikono, shingo, kisogo, miguu, mpaka kisigino! Ee Mungu ni Wewe uyajuaye mateso tuyapitiayo Baba 8. Mnaachana asubuhi akiwa na furaha,na ukirudi jioni amenuna hataki hata kukusalamia na ukiuliza tu balaa. Tupe uvumil...

CHEKA KIDOGO NA VISA VYA MADENGE

Image
MADENGE NA HOME WORK: Siku 1 Madenge na wenzake walipewa home work wakatunge sentens 3. kila mtoto akarud nyumban kwao, Madenge alipofika kwao alimkuta mama yake amekaa vibaya akamuuliza "mama hiyo nini?" mama yake akamjib "nyoo mshenz wewe".  Madenge akaandika sentens ya kwanza. akapita had sebulen akamuona baba yake anachek muvi, akamuuliza "baba huyo nan ktk picha" baba yake akamjib "anord shozniga". Madenge akaandika sentens ya pili. baada ya kula akaenda kutembea mitaan, kituo cha daladala alisikia konda akisema "panda nyuma twende".  kesho yake mwalim akawauliza "mmetunga sentens zangu?" wanafunz wakajib "ndiyo". mwalim akasema "madenge anza kunisomea sentens zako"  Madenge akasoma "nyoo mshenzi wewe" mwalim akakasirika "we mtoto unanitukana ukiwa kama nan"  Madenge akasoma tena "anord shozniga" mwalim akamwambia "kumbe wewe jeuri twende ofisini" M...

CHEMSHA BONGO

Swali la leo Iv ni kweli unaamini kua kila mwanaume anapo omba mke mwema kwa Mungu, shetani nae humtumia mke kutoka kwake kwa kumuwahi yule aliyepangwa na Mungu??? Jibu lako na mawazo yako tunayathamini na kuyahitaji sana

FAIDA SABA ZA MAOMBI YA KUFUNGA

FAIDA SABA ZA MAOMBI YA KUFUNGA  Utangulizi Ni siku njema tena Mungu katupa mimi na ww unaesoma post hii ili uweze kutoa maoni yako na ili kuzidi kufundishana na kujengana katika mambo kadha wa kadha katika maisha. Leo tumeanza namaswala ya kiimani lakin kadri siku zitavyozidi kusonga tutakua na mada na mawazo lukuki juu ya maisha yetu kiujumla. Unaweza ukajiuliza Maombi ni nini? 1.The request is to seek, to scourge God." Luke 18: 1 3.The request is to speak to God Isaiah 1:18 4.The request is to clarify our need / need in the sight of GOD, Philippians 4: 6 5. Prayer is Prior to GOD "ACTS 13: 2 6.The request is to fight spiritual warfare, EPHESIANS 6:18 7.The request is to settle with GOD Isaiah 30:15 Watu wanatofautiana katika utumiaji wa maombi katika kutafuta ufumbuzi wa haja zetu, na leo tutaangalia maombi ya kufunga Mtu anawe anaweza akajiuliza nini maana ya kufunga. Kufunga ni kujizuia mambo yote ya anasa na kutenga ule muda kumtafakari na kumwomba Mungu k...