DOGO JANJA, Mpya Kali hii🎵janjaroo🎤
Thank you for reading this post
Naweza nikasema huyu jamaa ni msanii wa kipekee ambae ni mtu wa watu sana.
Ukikutana nae hajigambi sana na huwa karib na mtu pale anapotaka ukaribu
Hii kitu inazidi kupendezesha kazi zake na hata jina lake.
Sio only msanii star but naweza kusema ni staa kwa kuwa mtu wa watu kuliko masta wengine
Ni karama ya kipekee kufanya vizuri jukwaan na pia kwenye jamii.
Big up Janjarooo, tunazikubali kazi zako kinomanoma
Naweza nikasema huyu jamaa ni msanii wa kipekee ambae ni mtu wa watu sana.
Ukikutana nae hajigambi sana na huwa karib na mtu pale anapotaka ukaribu
Hii kitu inazidi kupendezesha kazi zake na hata jina lake.
Sio only msanii star but naweza kusema ni staa kwa kuwa mtu wa watu kuliko masta wengine
Ni karama ya kipekee kufanya vizuri jukwaan na pia kwenye jamii.
Big up Janjarooo, tunazikubali kazi zako kinomanoma
Comments
Post a Comment