KOMBE la dunia 2018 hari moja kwa moja



Muhtasari

  1. Denmark imefuzu robo fainali 1998 tu licha ya mwaka huu kuwa mara yake ya nne baada ya 1986, 1998 na 2002.
  2. Croatia na Denmark hawajapoteza mechi Urusi hadi sasa.
  3. Croatia imeshinda mechi zake zote Kundi G na kumaliza wa Kwanza.
  4. Tulikosea wapi Afrika Kombe la Dunia 2018?


Habari za moja kwa moja



Penalti zikipigwa............nani bora?

106' Croatia 1-1 Denmark
Penalti zimeanza kunukia mechi hii ya hatua ya mchujo........
Croatia haijawahi kushiriki mikwaju ya penalti mechi za Kombe la Dunia.
Lakini, katika Kombe la mataifa bora Ulaya 2008, iliondolewa na Uturuki baada ya Luka Modric, Ivan Rakitic na Mladen Petric kutofunga. Ni Dario Srna pekee aliwafungia!
Kwa Denmark, wamejaribu bahati mara mbili.
Nusu fainali Kombe la mataifa bingwa Ulaya 1984 dhidi ya Uhispania. Walifungwa 5-4. Preben Elkjaer pekee alipoteza.
Walibahatika mara ya pili walipoilaza Uholanzi 5-4 1992.

Comments

Popular posts from this blog