Posts

Showing posts from June, 2018

Magazeti ya leo tare 24/6/2018

Image
Magazeti ya leo tare 24/6/2018 yoote soma hapa👇👇👇 http://millardayo.com/habari-kubwa-za-magazeti-ya-tz-leo-june-24-2018-udaku-michezo-na-hardnews/

Magazeti leo 15/07/2018

Soma magazeti tote hapa http://www.muungwana.co.tz/2018/06/magazeto-ya-leo-1562018.html

KOMBE LA DUNIA LEO

Image
Kombe la Dunia 2018 - mambo muhimu kuhusu nchi ambazo tayari zimefuzu michuano ya Urusi 13 Oktoba 2017 Sambaza habari hii Facebook   Sambaza habari hii Twitter   Sambaza habari hii Messenger   Sambaza habari hii Email   Mshirikishe mwenzako Haki miliki ya picha GETTY IMAGES Image caption Mshambuliaji wa Paris St-Germain Neymar ndiye mchezaji ghali zaidi duniani Michuano ya mwisho ya hatua za makundi kufuzu kwa Kombe la Dunia nchini Urusi mwaka ujao inaendelea kufanyika. Kwa sasa mataifa 22 tayari yamejikatia tiketi kushiriki michuano hiyo itakayoshirikisha nchi 32 mwaka ujao. Mabingwa mara tano  Brazil  wamefuzu, sawa na mabingwa watetezi  Ujerumani, pamoja na  Argentina,  Iceland,  Ubelgiji ,  Colombia,  Costa Rica, England,  Misri , Iran, Japan, Mexico, Nigeria,  Panama,  Poland, Saudi Arabia, Serbia,  Korea Kusini , Ufaransa, Ureno,  Uhispania na  Uruguay . Wali...