Posts

Croatia watua final huko Russia

Croatia wame cheza leo saa tatu dhidi ya England na wamefanikiwa kuingua kwenye final ambayo watacheza dhidi ya France Wameshinda goli 2-1

KOMBE LA DUNIA LEO. CROATIA Vs ENGLAND

Image
Kombe la dunia hatua ya nusu final. Kwa usiku wa leo watakutana wababe Croatia Vs England Zaidi kuhusu kombeladunia bofya hapa👇👇👇 https://www.google.com/search?client=tablet-alps-full_8d_rlk8735m_6_ts-tz&ei=agBGW-TYIcmb6ASXoJ7wAg&q=kombe+la+dunia&oq=kombe+la+dunia&gs_l=mobile-gws-wiz-serp.3..35i39i70i253j0i203j46i203l3.43330.52780..55054...1....697.7471.3-12j1j5....2..0....1.......5..0j35i39j0i67j0i131.T2waCgjQngo#sie=lg;/m/06qjc4;2;/m/030q7;mt;fp;1

Kombe la Dunia 2018: Mfahamu Samuel Umtiti mchezaji aliyewafikisha Ufaransa fainali kwa kuwafunga Ubelgiji nusufainali

Image
Kombe la Dunia 2018: Mfahamu Samuel Umtiti mchezaji aliyewafikisha Ufaransa fainali kwa kuwafunga Ubelgiji nusufainali Saa 5 zilizopita Sambaza habari hii Facebook   Sambaza habari hii Messenger   Sambaza habari hii Twitter   Sambaza habari hii Email   Mshirikishe mwenzako Haki miliki ya picha GETTY IMAGES Ufaransa watakutana na mshindi kati ya England na Croatia kwenye fainali ya Kombe la Dunia nchini Urusi baada ya kuwashinda majirani wao Ubelgiji kwenye nusufainali mjini St Petersburg. Mechi ya fainali itachezwa Jumapili uwanjani Lzhiniki mjini Moscow saa tatu usiku saa za Afrika Mashariki. Ubelgiji wamesalia na mechi moja ya kuamua atakayemaliza wa tatu, mechi ambayo itachezwa Jumamosi. Bao pekee la mechi ya nusu fainali lilifungwa na beki Samuel Umtiti baada ya kona iliyopigwa na Antoine Griezmann. Mchezaji huyu aliyewavusha Ufaransa hadi fainali ni nani? Samuel Yves Umtiti huchezea klabu ya Barcelona ya Uhispania. Ni m...

Magazetini leo july7

Image
Top za Magufuli http://www.tanzaniatoday.co.tz/habari-za-leo/magufuli/ HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI JULAI 7,2018 by  Malunde Asili   3 hrs ago Magazetini leo Jumamosi July 07 2018

Brazili Yafungasha Virago Kombe la Dunia....Ni Baada ya Kutandikwa 2-1 na Ubelgiji

Image
Brazili Yafungasha Virago Kombe la Dunia....Ni Baada ya Kutandikwa 2-1 na Ubelgiji mpekuzihuru.com Jul 7, 2018 7:52 AM Kikosi cha timu ya taifa ya Brazil kimeyaaga mashindano ya Kombe la Dunia kwa kukubali kichapo cha mabao 2-1 dhidi ya Ubelgiji. Walikuwa ni Ubelgiji walioanza kutikisa nyavu za Brazil mnamo dakika ya 13 tu ya mchezo kupitia kwa Fernadinho ambaye alijifunga kwa mpira wa kichwa. Ubelgiji walikuja tena kambani na kuweka bao la pili kwa mkwaju mkali ulioenda moja kwa moja nyavuni kupitia kwa Kevn De Bruyne kwenye dakika ya 31 kipindi cha kwanza. Licha ya kuamka kwa kasi kipindi cha pili huku wakiutawala mchezo kuliko Ubegiji, Brazil walikosa nafasi nyingi ambazo kama wangezitumia vema wangeweza kupindua matokeo. Mnamo dakika ya 76, Renato Agusto aliweza kuipatia Brazil bao la kufutia machozi na kuufanya ubao wa matokeo kuwa 2-1. Baada ya kufunga bao hilo Brazil walionekana kupigana kufa na kupona ili kusawazisha lakini mpaka dakika 90 zinaish...

Watanzania wasikitishwa na kifo cha mtoto wa Muna Love, Patrick Dickson Tanzania

Image
Watanzania wasikitishwa na kifo cha mtoto wa Muna Love, Patrick Dickson Tanzania 4 Julai 2018 Sambaza habari hii Facebook   Sambaza habari hii Messenger   Sambaza habari hii Twitter   Sambaza habari hii Email   Mshirikishe mwenzako Haki miliki ya picha @PATDASMARTBOY Image caption Patrick anakumbukwa kwa utanashati wake namna alivyokua akivaa na kupendeza Mtoto wa msanii wa Filamu za Bongo na Mjasiriamali, Rose Alphonce maarufu kama 'Muna Love' ameaga Dunia. Mtoto Patrick Dickson ambaye alikua na umaarufu sana katika mitandao ya kijamii amefariki jana Julai 3, 2018 nchini Kenya alipokuwa akipatiwa matibabu. Baba aliyemnyonyesha mtoto wake mchanga wakati mama hakuweza Jitihada za kutafuta mabaki ya marubani wa Marekani wa Vita vya Pili vya Dunia Patrick alianza kuugua tangu mwaka 2016, ambapo alisumbuliwa zaidi na maradhi ya mguu hali iliyo mpelekea kushindwa kutembea. Kuanzia hapo Patriki alilazwa na kufanyiwa upasuaji mara kad...