Posts

Tanzania live score.. MATOKEO YA MECHI ZA TANZANIA HIVI LEO ANGALIA HAPA

Angalia matokeo ya mpira wa Tanzania hivi leo 👇👇👇👇👇👇👇👇 http://www.fifa.com/live-scores/clubs/club=tanzania-simba-sc-2147481658/index.html

Mambo 10 unayoweza kufanya kupunguza hatari ya kuugua saratani

Image
Mambo 10 unayoweza kufanya kupunguza hatari ya kuugua saratani 4 Februari 2018 Sambaza habari hii Facebook   Sambaza habari hii Twitter   Sambaza habari hii Messenger   Sambaza habari hii Email   Mshirikishe mwenzako Image caption Jitihada zinashinikizwa kung'amua mapema maradhi ya saratani na kuyashughulikia ipasavyo Kampeni kubwa imesambaa duniani wakati dunia leo inaadhimisha siku ya saratani duniani - #WorldCancerDay - kupiga vita saratani kwa kuongeza uhamasisho kuhusu umuhimu wa kutambua mapema na kuzuia kusambaa kwa saratani. MATANGAZO Shirika la afya duniani WHO linasema saratani ndio chanzo cha kifo cha mtu mmoja kati ya sita duniani, na hadi 50% ya aina zote za saratani zinaweza kuzuilika. Lakini idadi ya visa vipya vya ugonjwa huo inatarajiwa kuongezeka kwa takriban asilimia sabiini katika miongo miwili ijayo. Madaktari wa Afrika Mashariki kupata ujuzi wa saratani Uingereza Tanzania kuchunguza saratani ya kizazi kw...

Alexis Sanchez

Image
Alexis Sanchez aisaidia Man United kushinda huku ManCity ikizuiwa 3 Februari 2018 Sambaza habari hii Facebook   Sambaza habari hii Twitter   Sambaza habari hii Messenger   Sambaza habari hii Email   Mshirikishe mwenzako Haki miliki ya picha AFP Image caption Kiungo wa kati wa Man United Alexi Sanchez akifunga mkwaju wa penalti Mkufunzi wa Manchester City Pep Guardiola amekataa kumlaumu Raheem Sterling kwa mkosi wa kikosi chake kushindwa kuilaza Burnley baada ya mshambuliaji huyo wa Uingereza kukosa nafasi ya pekee. Huku ikiwa 1-0 na dakika 20 chini ya ushindi wao wa 23 msimu huu, Sterling alishindwa kucheka na wavu akiwa maguu sita baada ya kupata pasi nzuri kutoka kwa Kyle Walker. Kisa hicho kilimfanya kuzomwa huku mchezaji huyo akitolewa mara moja kabla ya Johann Berg Gudmundsson kuisawazishia Burnley ikiwa zimesalia dakika nane. Mkufunzi wa Burnley Sean Dyche alihisi kushindwa huko kwa Sterling kulibadilisha hali ya mechi hiyo. ...

CHAN 2018: Morocco imefunga Nigeria 4-0 na kuibuka washindi

Image
CHAN 2018: Morocco imefunga Nigeria 4-0 na kuibuka washindi Dakika 24 zilizopita Sambaza habari hii Facebook   Sambaza habari hii Twitter   Sambaza habari hii Messenger   Sambaza habari hii Email   Mshirikishe mwenzako Haki miliki ya picha GETTY IMAGES Image caption Wachezaji wa Morocco washerehekea baada ya kuifunga Nigeria na kulinyanyua taji la CHAN 2018 nyumbani Michuano ya kombe la Afrika kwa wachezaji wa Ligi za Ndani ( CHAN) imehitimishwa Jumapili kwa ushindi wa wenyeji Morocco waliofanikiwa kulinyanyua taji la michuano hiyo kufuatia ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Nigeria. Mchezaji wa Morocco Zakaria Hadraf alifanikiwa kupachika wavuni bao la kwanza muda mfupi kabla ya kipindi cha mapumziko huku mchezaji wa Nigeria Peter Eneji Moses akitimuliwa uwanjani baada ya kupewa kadi ya pili ya njano muda mfupi baad ya bao hilo. Walid El Karti na Hadraf - katika bao lake la pili - waliipatia Morocco uongozi katika mechi hiyo kufikia dak...