Posts

Showing posts from July, 2018

Kombe la Dunia 2018: Ufaransa mabingwa wa dunia baada ya kuwacharaza Croatia 4-2, Mbappe na Pogba wafunga

Image
Kombe la Dunia 2018: Ufaransa mabingwa wa dunia baada ya kuwacharaza Croatia 4-2, Mbappe na Pogba wafunga Saa moja iliyopita Sambaza habari hii Facebook   Sambaza habari hii Messenger   Sambaza habari hii Twitter   Sambaza habari hii Email   Mshirikishe mwenzako Haki miliki ya picha GETTY IMAGES Ufaransa washinda Kombe la Dunia 2018 baada ya kuwacharaza Croatia 4-2 katika fainali iliyochezewa Urusi. Ufaransa iliyoingia mechi hiyo ikisaka ubingwa wa dunia kwa mara ya pili tangu 1998, ilitangulia kwenye mechi na goli la kwanza dakika ya 18 kufuatia mkwaju wa Antoine Griezmann ulioelekezwa wavuni na Mario Mandzukic. Mandzukic, shujaa dhidi ya Uingereza nusu fainali kwa kuipa goli la ushindi muda wa ziada, alimiminiwa lawama kwa kujifunga na kuwa mchezaji wa kwanza kupiga mpira hadi lango lake katika fainali ya Kombe la Dunia. Uongozi wa Ufaransa ulidumu kwa dakika 10 pekee kwani winga matata wa Croatia anayeichezea Inter Milan Ivan Peri...

Matokeo kidato cha sita 13/7/2018

Image
Bofya link hii kupata matokeo ya kidato cha sita👇👇👇 http://www.tanzania.go.tz/MATOKEO_ACSEE_UALIMU_2018/ACSEE%202018/

World cup, England vs Croatia final score

Image
CBSSPORTS.COM 247SPORTS MAXPREPS SCOUT SPORTSLINE SHOP GOLFBOOK TICKETS HOME WORLD CUP WC SCORES WC SCHEDULE WC STANDINGS LOG IN England vs. Croatia final score, recap: Cinderella run continues as Croatia reaches first World Cup final Thanks to Mario Mandzukic's winner, Croatia is the second least populous nation to reach the World Cup final by  Roger Gonzalez  @rgonzalezcbs 16m ago  • 2 min read England fell one win short of its goal of reaching the World Cup final, surrendering a 1-0 lead in Wednesday's semifinal against Croatia. The Croatians rallied from behind to win 2-1 in extra time thanks to a goal from Mario Mandzukic. Croatia's dream continues into Sunday's final against France. Croatia, with one of the smallest population in this tournament at 4.171 million, is off to the World Cup final for the first time in team history. Be...