Posts

Showing posts from February, 2018

Zari: Nimeachana na Diamond

Image
Zari: Nimeachana na Diamond 15 Februari 2018 Sambaza habari hii Facebook   Sambaza habari hii Twitter   Sambaza habari hii Messenger   Sambaza habari hii Email   Mshirikishe mwenzako Image caption Diamond na Zari Unaonekana uhusiano wa wapenzi maarufu Afrika Mashariki yaani msanii wa bongo fleva Diamond Platinumz na mfanya biashara wa Uganda Zari Hassan umefika ukingoni. Zari Hassan ametangaza kuachana na mzazi mwenzake, Naseeb Abdul maarufu Diamond Platinumz baada ya kuwapo kwa tuhuma nyingi kuhusu mwanamuziki huyo kuwa na uhusiano wa kimapenzi na wanawake wengine. Mashabiki wa Zari wamepokea habari hizo kwa mshangao na hisia tofauti wakituma ujumbe kwenye ukurasa wake. Image caption . Image caption . Image caption . Diamond ni baba wa watoto wawili wa Zari ambaye ameoenakana kunyamaza kwa muda baada ya mpenziwe Diamond kukiri hadharani kudanganya katika uhusiano wao na kupata mtoto na mwanamitindo wa Tanzania Hamisa Mobetto. Zar...

Alexis Sanchez ahukumiwa kifungo cha miezi 16 jela la sivyo alipe faini

Image
Alexis Sanchez ahukumiwa kifungo cha miezi 16 jela la sivyo alipe faini 9 Februari 2018 Sambaza habari hii Facebook   Sambaza habari hii Twitter   Sambaza habari hii Messenger   Sambaza habari hii Email   Mshirikishe mwenzako Haki miliki ya picha GETTY IMAGES Image caption Alexis Sanchez anaidwa kukwepa kodi Mchezaji mpya wa klabu ya Manchester United Alexis Sanchez amehukumiwa jela miezi 16 kutokana na kosa la kukwepa kulipa kodi. MATANGAZO Hukumu hiyo imetolewa jana ,Sanchez anadaiwa kukwepa kulipa kodi wakati alipokuwa nchini Uhispania ambapo mamlaka nchini humo zinasema anadaiwa kiasi cha pauni laki tisa. Kwa mujibu wa sheria za Hispania, hukumu ya kosa hilo haizidi miaka miwili jela, lakini badala yake kulipa pauni 525,000 kutokana na kosa ambalo alilifanya miaka mitatu alipokuwa akichezea klabu ya Barcelona. Alexis Sanchez aisaidia Man United kushinda huku ManCity ikizuiwa Sanchez atua Manchester United Mourinho: Sanch...

Tetesi za soka Ulaya Jumapili 11.02.2018

Image
Tetesi za soka Ulaya Jumapili 11.02.2018 11 Februari 2018 Sambaza habari hii Facebook   Sambaza habari hii Twitter   Sambaza habari hii Messenger   Sambaza habari hii Email   Mshirikishe mwenzako Haki miliki ya picha REUTERS Image caption Antonio Conte Kipa wa England na Stoke Jack Butland, 24, anawinda na Liverpool na Arsenal wa kima cha paunia milioni 40. (Sun on Sunday) Chelsea wanataka meneja Antonio Conte kuondoka klabu hiyo msimu wa joto wakati wa kumalizika mkataba wake, badala ya kumfuta kazi sasa. (Sunday Telegraph) Conte: naiachia klabu ifanye uamuzi Everton wanamlenga meneja wa Shakhtar Donetsk kuchukua wajibu wa meneja wa sasa Sam Allardyce msimu wa joto. (Mail on Sunday) Manchester City wamekubali mkataba wa pauni milioni 50, kumsaini kiungo wa kati raia wa Brazil Fred kutoka Shakhtar Donetsk 24, msimu ujao. (Sunday Mirror) Haki miliki ya picha GETTY IMAGES Image caption Kevin de Bruyne Kiungo wa kati wa Ubelgiji K...